sw_tn/jos/23/12.md

596 B

kushikamana na watu walioalia wa mataifa haya walioba

Kitendo cha kubali imani za mataifa haya kunasemwa kana kwamba ni kuwashikilia kwa nguvu. "kubali imani za watu walisalia za mataifa haya."

kitanzi na mtego

Maneno haya "kitanzi" na "mtego" kimsingi yanamaanisha kitu kile kile. kwa pamoja yanaongelea juu ya mataifa mengine kana kwamba yalikuwa ni mitego hatari kwa waisraeli kwa kusababisha matatizo.

viboko migongoni mwenu na miiba machoni mwenu

Virai hivi vinaongelea juu ya matatizo ambayo yataletwa na mataifa haya juu ya Israeli kana kwamba vilikuwa ni viboko na miiba kwao.