sw_tn/jos/22/25.md

526 B

Maelezo ya jumla

Makabila ya Rubeni, Gadi, na nusu ya Manase yanaendelea kutoa majibu yao

Kwa kuwa Yahweh ameifanya Yordani....hamna kitu chochote naYahweh

Huu ni mwendelezo wa mashitaka ya kinadharia ambayo makabila yale matatu yanadhani kuwa watoto wa makabila mengine wangeweza kufanya kwa wakati ujao.

Yordani

Huu ni ufupisho wa Mto Yordani

watoto wenu wanaweza kuwafanya watoto wetu waacha kumwabudu Yahweh.

Makabila haya matatu yalijenga madhabahu ili kuepuka hali inayodhania isije ikatokea wakati ujao.