sw_tn/jos/22/10.md

344 B

Yordani

Huu ni ufupisho wa Mto Yordani

mbele ya nchi ya Kanaani

Makabila ya Israeli walioishi ng'ambo ya Mto Yordani wangeingia Kanaani kwa kupitia sehemu ambayo walijenga madhabahu. Hii sehemu inasemwa kana kwamba ilikuwa mbele ya au kwenye lango la kuingia Kanaani ambapo makabila mengine yalikuwa yanaishi.

Gelilothi

Jina la mji