sw_tn/jos/22/01.md

318 B

Warubeni

watu wa kabila la Yuda

Wagadi

Watu wa kabila la Gadi

Mmeitii sauti yangu

mahali hapa "sauti yangu" ina maana ya vitu ambavyo Yoshua alikuwa amevisema. "mlitii kila kitu nilichosema."

Bado hamjawaacha ndugu zenu

Hii inaweza kusemwa kwa namna isiyo ya kukanusha. "Mmebakia pamoja na ndugu zetu."