sw_tn/jos/21/20.md

582 B

familia ya Kohathi

Makuhani katika kundi hili walikuwa ni wazawa wa mwana wa Lawi aliyeitwa Kohathi. Sehemu yao nyingine walikuwa ni wazawa wa Haruni, ambaye ni mjukuu wa Kohathi.

walipewa miji

Hii inaweza kuelezwa muundo tendaji: "Walipokea miji"

upigaji wa kura

Hii ni njia ya kuchagua ambayo ilikuwa ya kubahatisha yaani bila mpango maalumu ili kuondoa utashi wa viongozi, mara kwa mara ilifanywa kwa wazo kuwa Mungu ataamua matokeo

Gezeri...Kibzaimu...Bethi Horoni

haya ni majina ya miji

miji minne kwa ujumla

Hii inarejelea orodha kwa hesaby yake kwa jumla.