forked from WA-Catalog/sw_tn
582 B
582 B
familia ya Kohathi
Makuhani katika kundi hili walikuwa ni wazawa wa mwana wa Lawi aliyeitwa Kohathi. Sehemu yao nyingine walikuwa ni wazawa wa Haruni, ambaye ni mjukuu wa Kohathi.
walipewa miji
Hii inaweza kuelezwa muundo tendaji: "Walipokea miji"
upigaji wa kura
Hii ni njia ya kuchagua ambayo ilikuwa ya kubahatisha yaani bila mpango maalumu ili kuondoa utashi wa viongozi, mara kwa mara ilifanywa kwa wazo kuwa Mungu ataamua matokeo
Gezeri...Kibzaimu...Bethi Horoni
haya ni majina ya miji
miji minne kwa ujumla
Hii inarejelea orodha kwa hesaby yake kwa jumla.