sw_tn/jos/20/09.md

270 B

Mtu huyu hatakufa kwa mkono wa mtu yule

Hapa neno "mkono" lina maana kwamba mtu huyu atakuwa mhanga au mtendwa wa moja kwa moja wa mtu aliyemwua mkimbizi

kulipiza kisasi cha damu iliyomwagw

Hii inaweza kuelezwa kwa kutumia muundo tendaji. "kulipiza kifo cha mtu"