sw_tn/jos/20/05.md

347 B

kulipiza kisasi kwa damu ya mtu yule ambaye aliuliwa

Sentensi hii yaweza kutumia muundo tendaji. "kulipiza kifo cha mtu"

kumtoa

Neno hili lina maana ya kumweka mtu chini ya mtu mwingine mwenye mamlaka.

amesimama mbele ya kusanyiko

Hiki ni kirai kinachoeleza juu ya kutafuta haki kutoka katika mahakamaya kusanyiko la wananchi wenzake.