sw_tn/jos/19/49.md

200 B

walimpa urithi Yoshua mwana wa Nuni kutoka miongoni mwao

Mji ambao Yoshua alipokea unasemwa kana kwamba ulikuwa ni urithi ambao waliupokea kama mali ya kudumu

Timnathi Sera

Hili ni jina la mji