sw_tn/jos/19/47.md

307 B

Leshemu

Hili ni jina la mji

Huu ulikuwa urithi wa kabila la Dani,

Nchi na miji ambayo kabila la Dani liliipokea inasemwa kana kwamba ulikuwa ni urithi ambao waliupokea kama mali ya kudumu,

waliopewa kufuatana na koo zao

Hii inaweza kuelezwa kwa muundo tendaji. "ambayo Yoshua aliwapa kwa koo zao