sw_tn/jos/19/31.md

307 B

Huu ulikuwa ni urithi wa kabila la Asheri

Nchi na miji ambayo kabila la Asheri liliipokea inasemwa kana kwamba ulikuwa ni urithi ambao waliupokea kama mali ya kudumu waliopewa kwa kufuatana na koo zao

waliopewa kwa koo zao

Hii inaweza kuelezwa kwa muundo tendaji. "ambayo Yoshua aliwapa kwa koo zao"