sw_tn/jos/19/01.md

563 B

Upigaji wa pili wa kura uliangukia kwa Simoni

"Mara ya pili Yoshua alipopiga kura, kura ilionesha kabila la Simoni"

wa pili

Namba ya pili katika orodha

waligawiwa kwa kila ukoo wao

Hii inaweza kuelezwa kwa muundo tendaji: " Yoshua aligawa nchi kwa kila kabila lao"

Urithi wao ulikuwa katikati ya urithi ulikuwa ni mali ya kabila la Yuda.

Nchi waliyopewa makabila haya inazungumzwa kana kwamba ulikuwa ni urithi ambao waliupokea kama mali ya kudumu. "Nchi waliyopokea kama urithi ilikuwa katikati ya nchi ambayo kabila la Yuda walipewa kama urithi"