sw_tn/jos/18/19.md

433 B

Bega la kaskazini la Bethi Hogla

Nchi ambayo ina muundo wa mteremko inazungumzwa kana kwamba ni bega.

Bethi Hogla

Hili ni jina la sehemu/mahali

huu ulikuwa ni urithi wa kabila la Benyamini

Nchi ambayo kabila la Benyamini iliipokea inazungumzwa kana kwamba ilikuwa ni urithi wa ambao waliupokea kama mali ya kudumu.

walipewa kwa kila ukoo wao

Hii inaweza kuelezwa kwa muundo tendaji: "Yoshua aliwapa nchi kwa kila koo"