sw_tn/jos/18/03.md

537 B

Je mtaacha mpaka lini katika kuingia nchi ambayo Yahweh, Mungu wa baba zenu, amewapeni ninyi?

Yoshua aliuliza swali hili ili kuwatia moyo Waisraeli kuchukua umiliki wa nchi.

nchi juu na chini

maneno "juu na chini" yana maana ya kila mwelekeo/sehemu

Wataandika maelezo pamoja na maelekezo kuhusu urithi

Hii ina maana kwamba wataeleza sehemu za nchi ambazo kila kabila lingepokea kwa ajili ya urithi.

urithi wao

Nchi ambayo watu watairithi inaongelewa kana kwamba ulikuwa ni urithi ambao wangeupokea kama mali yao ya kudumu