sw_tn/jos/17/16.md

184 B

Bethi Shani....Yezreeli

Haya ni majina ya mahali/sehemu

Nyumba ya Yusufu

Hapa neno "nyumba" inarejelea wazawa

Mtaufyeka

"Mtausafisha msitu wa miti" au " mtaikata miti yake"