sw_tn/jos/17/09.md

394 B

Mpaka

"Mpaka wa nchi ya Manase"

kijito

sehemu ndogo ya mto

Kana

Jina la kijito

Kwa upande wa kaskazini ulifika hata Asheri

Maana zinakubalika ni a) mpaka wa nchi ya Manase ulifika na kugusua nchi ya kabila la Asheri b)ambayo waweza kusafiri kutoka Kaskazini na kufika Asheri.

upande wa mashariki, Isakari

Kitenzi huenda ni kile kile ambacho kimetolewa virai vilivyotangulia.