sw_tn/jos/17/01.md

510 B

mzaliwa wa kwanza wa Manase, ambaye alikuwa

"alikuwa ni mzaliwa wa kwanza"

Makiri...Abi Ezeri, Heleki, Asrieli, Shekemu, Heferi, na Shemida

Haya yalikuwa ni majina ya wanaume

Watoto wa Makiri walipewa nchi ya Gileadi na Bashani

Maneno haya yaweza kuelezwa kwa muundo tendaji. "Yoshua aliwapa nchi ya Gileadi na Bashani wazawa wa Makiri.

Nchi iliyobaki iligawiwa .... walipewa kwa koo zao

Maelezo haya yaweza kuelezwa kwa muundo tendaji. "Yoshua aliwapa nchi.... na aliwapa kwa kufuata koo zao."