sw_tn/jos/16/03.md

355 B

Wayafuleti

Hili ni jina la kikundi cha watu

Loweri Bethi Horoni ... Gezeri

haya ni majina ya sehemu

makabila ya Yusufu, Manase na Efraimu

"makabila ya Manase na Efraimu, wana wa Yusufu"

waliupokea uirithi wao

Nchi ambayo makabila ya Manase na Efraimu waliimiliki inasemwa kana kwamba ulikuwa ni urithi ambao waliupokea kama mali ya kudumu.