forked from WA-Catalog/sw_tn
355 B
355 B
Wayafuleti
Hili ni jina la kikundi cha watu
Loweri Bethi Horoni ... Gezeri
haya ni majina ya sehemu
makabila ya Yusufu, Manase na Efraimu
"makabila ya Manase na Efraimu, wana wa Yusufu"
waliupokea uirithi wao
Nchi ambayo makabila ya Manase na Efraimu waliimiliki inasemwa kana kwamba ulikuwa ni urithi ambao waliupokea kama mali ya kudumu.