sw_tn/jos/15/20.md

274 B

Huu ulikuwa ndio urithi wa kabila la Yuda,

Nchi ambayo kabila la Yuda lilipokea inaongelewa kana kwamba ulikuwa ni urithi ambao waliupata kama mali ya kudumu.

waliopewa kufuatana na koo zao

Hii inaweza kuelezwa kwa muundo tendaji. "ambayo Yoshua aliwapa kwa koo zao"