sw_tn/jos/15/05.md

362 B

katika mdomo wa Yordani

Sehemu ambayo mto humwaga maji yake baharini inazungumzwa kana kwamba ulikuwa ni mdomo wa mto.

mpaka...ulianzia

"mpaka...ulikuwa"

Bethi Hogla...Bethi Araba

haya ni majina ya sehemu/mahali

JIwe la Bohani

Hili lilikuwa ni jiwe kubwa lililowekwa na mtu fulani kama alama ya mpaka na liliitwa kwa jina la mtu aliyeitwa Hohani.