sw_tn/jos/15/01.md

472 B

Sini

Hili ni jina la sehemu ya jangwa

ghuba

sehemu ndogo ya ziwa ambayo imeingia katika sehemu ya nchi kavu

ulianzia mwisho wa Bahari ya Chumvi, kutoka ghuba iliyokabili upande wa kusini

"kutoka katika ghuba iliyokabili upande wa kusini sehemu ya mwisho ya Bahari ya Chumvi" Virai hivi viwili vya maneno vinarejelea sehemu moja. Kirai cha pili kinafafanua sehemu unapoanzia mpaka wa kusini.

iliyokabili upande wa kusini

"ambayo imegeukia kuelekea kusini"