sw_tn/jos/14/13.md

555 B

alimpa Hebroni kama urithi wake

Hebroni inaongelewa kana kwamba ulikuwa ni urithi ambao Kalebu aliupokea kama mali ya kudumu.

hata leo

hii inarejelea kipindi ambacho mwandishi wa kitabu hiki

alimfuata kabisa Yahweh,

Kuwa mwaminifu kwa Yahweh kunatajwa kana kwamba kumfuata Yahweh kweli kweli. "Alibaki akiwa mwaminifu kwa Yahweh"

Kiriathi Arba

Hili ni jina la mahali/sehemu

Kisha nchi ikawa na raha bila vita.

Watu walikuwa hawapigani vita tena. Hali hii inaangaliwa kama nchi kupumzika kama vile mtu anavyopumzika kutoka katika vita.