sw_tn/jos/13/32.md

413 B

Huu ni urithi ambao Musa aliowagawia

Nchi ambayo Musa aliyagawia makabila ya Israeli upande wa mashariki wa mto Yordani unazungumziwa kana kwamba ilikuwa ni urithi ambao Musaaliwapakama urithi.

Yahweh, Mungu wa israeli, ni urithi wao

Mwandishi anazungumzia juu ya heshima kubwa ambayo Walawi walikuwa nayo kwa kumtumikia Yahweh kama makuhani kana kwamba Yahweh kilikuwa ni kitu fulani ambacho watarithi.