sw_tn/jos/11/10.md

672 B

Alimwua mfalme wake kwa upanga

"Yoshua alimwua mfalme wa Hazori kwa upanga wake"

Hazori ulikuwa ni kichwa cha falme hizi zote

Mji wa Hazori ni mji muhimu, unatajwa kama kichwa cha falme zingine.

Waliwapiga kwa upanga kila kiumbe chenye uhai kilichokuwa huko, na alivitenga ili viteketezwe, hivyo hapakuwa na kiumbe hai kilichoachwa hai

Virai hivi viwili vina maana sawa na vinatilia mkazo kuwa maangamizi halisi.

alivitenga ili viteketezwe

Kiwakilishi 'a' kinamwakilisha Yoshua na kinajumuisha jeshi lote ambalo alikuwa akiliongoza. Walikiteketeza kabisa kila kitu kilicho hai katika mji. Vitu hivi vinasemwa kana kwamba viliwekwa wakfu ili viteketezwe.