sw_tn/jos/11/08.md

552 B

Yahweh akawatia maadui katika mkono wa Israeli

Hapa neno "mkono" linawakilisha nguvu. Yahweh analiwezesha jeshi la Israeli kuwashinda maadui zao, kitendo hiki kinasemwa kana kwamba Yahweh aliwaweka jeshi la maadui katika mkono wa waisraeli.

waliwapiga kwa upanga...Waliwaua wote

Hapa neno "upanga" unawakilisha silaha zote zilizotumika kuwashambulia adui zao.

Misrefothi - Maimu

HIli ni jina la sehemu/mahali

Alivunja miguu ya farasi

Hiki ni kitendo ambacho cha kukata misuli ya nyuma ya miguu ya farasi ili farasi washindwe kukimbia.