sw_tn/jos/10/13.md

8 lines
248 B
Markdown

# taifa
Hili linarejelea watu wa Israeli.
# Je hili halikuandikwa katika Kitabu cha Yashari
Mwandishi anatumia swali hili kama usuli kuwakumbusha msomaji kwamba tukio hilo ni vizuri kumbukumbu. Katika: 'hii imeandikwa katika Kitabu cha Yashari'