sw_tn/jos/10/03.md

271 B

Yarmuthi

Hili ni jina la mji

Lakishi

Hili ni jina la mji

Egloni

Hili ni jina la mji

Hohamu...Piramu...Yafia... Debiri

Haya ni majina ya wafalme

Njooni kwangu

Yerusalemu ni mji ulioinuliwa sana kuliko miji mingine ya Kanaani. "Safirini mje hapa nilipo"