sw_tn/jos/09/06.md

310 B

Watu wa Israeli

inalirejelea taifa lote la Israeli

Wahivi

Hili ni jina jingine la Wagibeoni

Huenda mnaishi karibu nasi. Twawezeje kufanya agano nanyi?

Yoshua anatia mkazo kuwa watu wa Israeli lazima wafuate amri ya yahweh juu ya vitu vyote. "kama mnaishi karibu nasi, hatuwezi kufanya agano nanyi"