sw_tn/jos/08/24.md

450 B

baada ya Israeli walipokuwa wamemaliza kuuwaua wenyeji ... baada ya wao wote... walipokuwa wamekwisha kulala kwa ncha ya upanga

Mwandishi anatumia sentens hizi, ambazo zote zina maana moja, zikiwa na maana ya Israeli walikuwa wamelitii agizo la Mungu la kumwua kila mtu huko Ai.

walikuwa wameanguka kwa makali ya upanga

Hapa maana ya kuanguka ni kufa, na makali ya upanga yanamaanisha vita au jeshi la Israeli.

elfu kumi na mbili

"12,000"