sw_tn/jos/08/10.md

197 B

watu elfu tano

"Wanaume 5,000" Kundi hii linaonekana kuwa sehemu ya watu "elfu thelathini (8:8). Hili ni kundi dogo lilosalia katika hali ya kuvizia wakati watu wengine 25,000 walipouvamia mji.