sw_tn/jos/08/08.md

314 B

Maelezo ya jumla

Yoshu anamalizia kueleza mpango wa vita kwa wanajeshi wake.

Yoshua akawatuma

Maneno haya yanamrejelea Yoshua akiwatuma watu thelathini walikuwa wamechaguliwa ili kuivamia Ai mahali ambapo watakaa ili kuvizia.

sehemu ya kuvizia

"mahali ambapo wangejificha mpaka wakati wa kushambulia."