sw_tn/jos/05/06.md

437 B

hawakuitii sauti ya Yahweh

Hapa neno "sauti" linarejelea vitu ambavyo Yahweh aliyasema. "tii mambo yale ambayo Yahweh amewaagiza"

nchi inayotiririka maziwa na asali

Mungu alizungumzia juu ya nchi ambayo ilikuwa nzuri kwa wanyama na mimea kana kwamba yalikuwa ni maziwa na asali kutoka kwa wanyama na mimea ilikuwa ikitiririka katika nchi. Pia twaweza kusema "Nchi ambayo ilikuwa ni ni nzuri kwa kufugia mifugo na kukuzia mazao."