sw_tn/jos/04/12.md

476 B

Kabila la Rubeni, kabila la Gadi, na nusu ya kabila la Manase walipita kama jeshi

Hawa walikuwa ni wanajeshi wa makabila matatu ambayo yalikuwa yanatimiliza wajibu wao wa kuwaongoza Waisraeli katika vita kwa ajili ya kukaa upande wa mashariki wa Mto Yordani.

kama ambavyo wa....

Neno 'wa' linarejelea watu wa Israeli

Walimheshimu Musa

Neno hili halimaanishi to kuheshimu lakini pia kutii agizo lake na kumjali kama amiri jeshi wa jeshi lao kama walivyomfuata Musa.