sw_tn/jos/04/08.md

439 B

Maelezo ya jumla

Yoshua na Israeli wanaendelea kufanya kama Yahweh alivyowaagiza.

walichukua mawe kumi na mbili kutoka katikati ya Yordani

Hii inawarejelea watu kumi na wawili waliochukua mawe kutoka udongo ulio katikati ya Mto Yordani

Kisha Yoshua akayapanga mawe kumi na mbili katikati ya Yordani

Haya yalikuwa mawe kumi na mawili ya ziada, siyo yale mawe ambayo watu kumi na wawili waliyachukua kutoka katika undongo wa mto.