sw_tn/jos/03/02.md

253 B

Maafisa

Hawa ni watu walioshikilia nafasi za maamlaka na kutoa maagizo

watu

Hili ni taifa la Israeli

dhiraa elfu mbili

"dhiraa 2,000" Neno ''dhiraa'' ni kipimo ambacho ni sawa na umbali kutoka kwenye kiwiko cha mkono hadi mwisho wa vidole.