sw_tn/jos/02/15.md

269 B

Maelezo ya jumla

Wapelelezi wa Israeli wanaendelea kuongea na Rahabu.

kama hautalifanya hili

jambo hili linaelezea juu ya sharti la ahadi ambalo wapelelezi walikuwa wamelifanya kwa Rahabu. Neno 'hili' linarejelea juu ya kufunga kamba katika dirisha katika 2:18