sw_tn/jos/02/06.md

556 B

Lakini alikuwa amewachukua.....darini

Haya ni maelezo ya msingi na yanaeleza jinsi alivyowaficha wanaume katika 2:4

Darini

Dari lilikuwa bapa na imara, ambalo watu waweza kutembea tembea juu yake

kitani

NI mmea ambao ulikuaukiwa na nyuzi nyuzi, ambazo zilitumika kwa kutengeneza nguo

Hivyo, watu waliwafuatilia njiani

Watu waliwafuatilia wapelelezi kwasababu ya kile ambacho Rahabu alikuwa amewaambia katika 2:4

vivuko

Hizi ni sehemu za mto ambazo hazina kina kirefu cha maji kiasi kwamba watu wanaweza kuvuka kwa kutembea kwa miguu.