sw_tn/jos/01/16.md

480 B

Maelezo ya jumla

Waisraeli hawa walikuwa ni Warubeni, Wagadi, na nusu ya kabila la Manase ambao walimjibu Yoshua.

Yeyote anayeasi maagizo yako na kutotii maneno yako

Virai hivi vya manane kimsingi vina maana moja tu na pia vinatia mkazo kuwa aina yoyote ya uasi itaadhibiwa.

atauawa

Hii inaweza kuelezwa kwa kauli tendaji: ''Tutamwua''

Uwe hodari na jasiri tu

Mungu pamoja na Waisraeli walizingatia mambo yote kuwa ya muhimu kwa Yoshua kuendelea kama kiongozi wao.