forked from WA-Catalog/sw_tn
480 B
480 B
Maelezo ya jumla
Waisraeli hawa walikuwa ni Warubeni, Wagadi, na nusu ya kabila la Manase ambao walimjibu Yoshua.
Yeyote anayeasi maagizo yako na kutotii maneno yako
Virai hivi vya manane kimsingi vina maana moja tu na pia vinatia mkazo kuwa aina yoyote ya uasi itaadhibiwa.
atauawa
Hii inaweza kuelezwa kwa kauli tendaji: ''Tutamwua''
Uwe hodari na jasiri tu
Mungu pamoja na Waisraeli walizingatia mambo yote kuwa ya muhimu kwa Yoshua kuendelea kama kiongozi wao.