forked from WA-Catalog/sw_tn
502 B
502 B
Maelezo ya jumla
Yahweh anaendelea kuongea na Yoshua
Siku zote uuongee
Hii ina maana kwamba Yoshua alitakiwa kuongea juu kitabu cha sheria mara kwa mara. Neno 'mchana na usiku' huongeza mkazo na uzito.
Kisha utastawi na kufanikiwa
Kimsingi maneno haya mawili yanamaanisha kitu kile kile na pia yanatia mkazo juu ya kufanikiwa kwa hali kubwa.
Je si mimi niliyekuagiza?
Hii inamrejelea Yahweh akimwamuru Yoshua. "Ni mimi niliyekuagiza!"
Uwe hadori na jasiri!
Yahweh anamwagiza Yoshua.