sw_tn/jos/01/08.md

502 B

Maelezo ya jumla

Yahweh anaendelea kuongea na Yoshua

Siku zote uuongee

Hii ina maana kwamba Yoshua alitakiwa kuongea juu kitabu cha sheria mara kwa mara. Neno 'mchana na usiku' huongeza mkazo na uzito.

Kisha utastawi na kufanikiwa

Kimsingi maneno haya mawili yanamaanisha kitu kile kile na pia yanatia mkazo juu ya kufanikiwa kwa hali kubwa.

Je si mimi niliyekuagiza?

Hii inamrejelea Yahweh akimwamuru Yoshua. "Ni mimi niliyekuagiza!"

Uwe hadori na jasiri!

Yahweh anamwagiza Yoshua.