sw_tn/jos/01/01.md

517 B

Yahwe

Hili ni jina la Mungu ambalo alilidhihirisha kwa watu wake katika Agano la Kale.

Nuni

Baba yake na Yoshua

Vuka mto huu wa Yordani

''Kuvuka" ina maana ya " kwenda upande mwingine wa mto,"au kusafiri kutoka upande mmoja wa mto hadi upande wa pili."

wewe pamoja na watu hawa

Neno 'wewe' humrejelea Yoshua.

Nimewapeni ninyi

Neno "ninyi' linarejelea Yoshua na taifa la Israeli.

Nyao za miguu yenu

Ina maana ya sehemu zote ambazo Yoshua atazitembelea katika safari yake ng'ambo ya Mto Yordani.