Taarifa za jumla
Mungu anaongea kupitia Yoeli kwa watu wa Israeli wakitumia mashairi.
neno la Bwana lililomjia
"neno ambalo Bwana Mungu alinena"
Pethueli
Babayake Joeli
Je! Hii imewahi kuwa kabla ya siku zenu au katika siku za baba zenu
AT "Hii haijawahi kutokea kabla ya yenu au baba zenu"