sw_tn/job/41/33.md

221 B

Hakuna cha kumlinganisha

"hakuna kiumbe kingine kama mamba"

Hukiona kila kitu chenye kiburi

"yeye ana kiburi sana sana"

yeye ni mfalme juu ya wana wote wa kiburi.

"Mamba ni kama mfalme wa viumbe vyenye kiburi"