sw_tn/job/41/01.md

649 B

Maelezo ya jumla

Mungu anaendelea kuzungumza. Anatumia maswali mengi ya kejeli kumtia changamoto Ayubu.

Au kumfunga taya zake kwa kamba?

"Hauwezi kumvua mamba kwa ndoano ya samaki"

Au kumfunga taya zake kwa kamba?

Hii si sentensi kamili, lakini maana yake yaweza kufahamika kutoka katika muktadha kama " Au kumfunga taya zake kwa kamba? "au hauwezi kumfunga taya kwa kamba.

Je waweza kuweka kamba katika pua zake

"Hauwezi kuweka kamba katika pua yake, au kuchoma taya zake kwa ndoano"

Je atafanya maombi mengi kwako?

"Hawezi kufanya maombi kwako"

Je atazungumza na wewe kwa maneno laini?

"Hataweza kuzungumza maneno laini"