forked from WA-Catalog/sw_tn
28 lines
545 B
Markdown
28 lines
545 B
Markdown
# Maelezo ya jumla
|
|
|
|
Yahweh anaendelea kumtia changamoto Ayubu
|
|
|
|
# Ni nani............jiwe la pembeni
|
|
|
|
Yahweh anatumia maswali haya kutia makazo kwamba Ayubu hajui jinsi Yahweh alivyoifanya dunia.
|
|
|
|
# Misingi yake ilitandazwa juu ya nini?
|
|
|
|
Ni juu ya nini misingi ya dunia iliwekwa.
|
|
|
|
# nyota za asubuhi
|
|
|
|
"nyota angavu ambazo huangaza asubuhi"
|
|
|
|
# wakati nyota za asubuhi zilipoimba pamoja
|
|
|
|
Yahweh anaelezea juu ya nyota kana kwamba walikuwa ni watu walioweza kuimba.
|
|
|
|
# wana wa Mungu
|
|
|
|
"malaika"
|
|
|
|
# kwa furaha
|
|
|
|
"kwasababu walikuwa na furaha imejaa"
|