forked from WA-Catalog/sw_tn
16 lines
521 B
Markdown
16 lines
521 B
Markdown
# Maelezo ya jumla
|
|
|
|
Elihu anaendelea kuzungumza
|
|
|
|
# katika mikono ya watu wenye nguvu
|
|
|
|
Mahali hapa "mikono" ina maana ya ya nguvu au uwezo.
|
|
|
|
# Lakini hakuna hata mmoja asemaye, ' Mungu Muumba wangu yuko wapi....ndege wa angani?
|
|
|
|
"Lakini mtu wa haki kweli si mwenye kiburi hata kwa kusema kwamba Mungu amekataa kuwapa uwezo wa kuimba nyimbo za furaha, wakati wa mateso yao."
|
|
|
|
# ambaye hutoa nyimbo wakati wa usiku,
|
|
|
|
Hii ina maana kwamba ahadi za Mungu huwapa watu sababu ya kuwa na furaha hata wakati wakiwa katika mateso.
|