sw_tn/job/35/06.md

699 B

Sentensi kiunganishi

Elihu anaendelea kuongea

Kama umetenda dhambi, ni madhara gani huwa unayafanya kwa Mungu?

Dhambi zako zote haziwezi kumharibu mtu au tabia za Mungu"

Ikiwa makosa yako yameongezeka zaidi, je huwa unafanya nini kwake?

Swali hili linarudia wazo lile lile kama swali lililotangulia. "Ingawa unaendelea kutenda dhambi pamoja na matokeo makubwa, dhambi zako hazina athari juu yake.

Kama wewe ni mwenye haki, unaweza kumpa nini? Je atapokea nini mkononi mwako?

Maswali haya mawili kimsingi yanamaanisha jambo lile lile, kwamba haki ya Ayubu haikuongeza chochote kwa Mungu.

kutoka mkononi mwako

"kutoka kwako"

mwana wa mtu

"mwanadamu mwenza" au "mtu mwingine"