sw_tn/job/33/21.md

546 B

Maelezo ya jumla

Elihu anaendelea kuzungumza na Ayubu

Nyama yake imeharibiwa ili kwamba usionekane; mifupa yake

"Ugonjwa huufanya mwili wake uwe dhaifu na ukonde hata kwamba mtu anaweza hata kuona mifupa yake"

roho yake inasogea shimoni

"yuko karibu kuingia katika kaburini"

uhai wake unasogea kwa wale wanaotaka kuuharibu.

Kirai "wale wanaotaka kuuharibu" yaweza kurejelea watu wale ambao wako tayari katika sehemu ambapo wafu huenda. Yaweza pia kurejelea malaika wa kifo ambaye huja na kumfanya mtu afe. "Yuko karibu na kufa"