sw_tn/job/31/33.md

377 B

Maelezo ya jumla

Ayubu anaendelea kufafanua hali ambazo angestahili kupata hukumu ya Mungu, lakini anajua kuwa hayakuwa ni ya kweli.

kwa kuwa niliogopa kusanyiko kubwa, kwasababu ya matwezo ya familia yaliniogopesha

Kauli hizi zinamaanisha kitu kimoja. Kwa pamoja zinatia mkazo kwamba mtu anaweza kuificha dhambi yake kwasababu anahofu juu kile ambacho watu wangesema.