sw_tn/job/31/31.md

638 B

Maelezo ya jumla

Ayubu anaendelea kufafanua hali ambazo alistahili kupata hukumu ya Mungu, lakini anajua kuwa hayakuwa ni ya kweli.

Ikiwa watu wa hema yangu hawajasema,' Nani aweza kumpata mtu ambaye hayashibishwa na chakula cha Ayubu?

"Watu wangu siku zote wamekuwa na uwezo wa kusema,"Kila mtu tunayemjua amekula chakula kingi cha Ayubu kama alivyotaka' Kama hayo hayakuwa ya kweli,"

hata mgeni hajawahi kukaa katika pembe ya mji, kwa kuwa siku zote nimefungua milango yangu kwa ajili ya wasafiri

Ayubu anaelezea jinsi ambayo aliwatendea wageni."Wageni hawakuwahi kulala mitaani. Mara zote niliwakaribisha nyumbani kwangu"