sw_tn/job/31/29.md

363 B

Maelezo ya jumla

Ayubu anaendelea kufafanua hali ambazo alistahili kupata hukumu ya Mungu, lakini anajua kuwa hayakuwa ni ya kweli.

Kwa kweli sijauruhusu hata mdomo wangu kutenda dhambi kwa kuuomba uhai wake kwa laana.

Ayubu anaelezea ukweli wa jinsi alivyowatendea wale anaowachukia. "kwa ukweli, sikujihusisha mwenye katika dhambi kwa kuilaani sik yake"