sw_tn/job/31/01.md

520 B

Maelezo ya jumla

Ayubu anaendelea kuzungumza

Nimefanya patano na macho yangu

"Nimejiahidi mwenyewe kwamba sitamwangalia mwanamke kwa tamaa"

kwa namna gani tena napaswa kumtazama mwanamwali kwa tamaa?

Ayubu anatumia swalli ili kutia mkazo kwamba hatavunja ahadi yake.

Ni sehemu gani kutoka kwa Mungu juu, na urithi gani kutoka kwake mwenye nguvu aliye juu?

sentensi hizi mbili zina maana moja. Ayubu anatumia swali ili kukazi kwamba Mungu asingempa kitu kizuri kama angefanya dhambi na kuvunja ahadi yake.